Hali Mbaya Katika Sekta ya Elimu Kuongezeka Kuliko Ilivyokadiriwa Hapo Awali
By Khadija Mbesa Ni mwaka mwengine sasa, ila bado migogoro ya Elimu katika nchi kadhaa ulimwenguni inaendelea kukita mizizi. Na katika ripoti ya hivi majuzi ya The State of Global Education Crisis: A Path to Recovery iliyotolewa kwa upamoja wa UNESCO, UNICEF, na Benki Kuu ya Dunia, imedhihirisha kwamba, hali hiyo ni mbaya zaidi kuliko ilivyokadiriwa hapo […]
Hali Mbaya Katika Sekta ya Elimu Kuongezeka Kuliko Ilivyokadiriwa Hapo Awali Read More »