Wanafunzi

Hali Mbaya Katika Sekta ya Elimu Kuongezeka Kuliko Ilivyokadiriwa Hapo Awali

By Khadija Mbesa Ni mwaka mwengine sasa, ila bado migogoro ya Elimu katika nchi kadhaa ulimwenguni inaendelea kukita mizizi. Na katika ripoti ya hivi majuzi ya The State of Global Education Crisis: A Path to Recovery iliyotolewa kwa upamoja wa UNESCO, UNICEF, na Benki Kuu ya Dunia, imedhihirisha kwamba, hali hiyo ni mbaya zaidi kuliko ilivyokadiriwa hapo […]

Hali Mbaya Katika Sekta ya Elimu Kuongezeka Kuliko Ilivyokadiriwa Hapo Awali Read More »

Mapigano ya Elimu dhidi ya Janga la Uviko 19

ByMartha Chimilila Wadau wa Maendeleo katika nchi za Afrika Mashariki wanafanya kampeni mbalimbali za kuhakikisha watoto wanapata elimu bora na sio bora elimu. Katika kipindi cha mwaka 2020, dunia ilishuhudia mabadiliko makubwa haswa katika sekta ya elimu yaliyosababishwa na janga la Uviko 19. Mnamo mwezi machi 2020, nchi za Afrika Mashariki zilifunga Taasisi zote za elimu na hii ilitokana na

Mapigano ya Elimu dhidi ya Janga la Uviko 19 Read More »

Chanjo ni Bora Kuliko Tiba

By Martha Chimilila Burundi ni moja ya nchi za Afrika Mashariki, ambazo zilipinga kufuata masharti yaliyotolewa na Shirika la Afya duniani juu ya janga la Uviko 19. Hali imekuwa ya tofauti baada ya serikali ya Burundi kuanzisha kampeni mbalimbali za kudhibiti na kukinga wananchi wake juu ya janga la Uviko 19. Katika juhudi za kuzuia

Chanjo ni Bora Kuliko Tiba Read More »

Tuhuma za Mapenzi Baina ya Walimu na Wanafunzi

By Martha Chimilila Katika kipindi cha miaka ya karibuni Tanzania imeona ongezeko kubwa la wanafunzi wa kike kuacha shule, tatizo kubwa ni kupata ujauzito. Mimba za utotoni katika miji mikubwa zimeongezeka kutoka watoto 3 kati ya 10 hadi watoto 7 kati ya 10. Tarehe 7 September 2021, Mkoani Dodoma Serikali ya Tanzania kupitia, Bi Ummy Mwalimu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imetangaza kuwafikisha walimu 285 kati ya 10,115 katika Tume ya Utumishi wa Ualimu kwa tuhuma za kujihusisha kimapenzi na wanafunzi katika kipindi cha miaka minne.  “Makosa haya ni sawa na asilimia 2 ya makosa yote yaliyofika katika Tume ya Utumishi wa Ualimu. Tume hampaswi kumuonea mtu aibu endapo amevunja sheria”  “Mwalimu yoyote atakayethibitika kuwa anajihusisha kimapenzi na mwanafunzi, kama serikali hatuta mvumilia na atachukuliwa hatua maana ni kinyume na sheria ya nchi na

Tuhuma za Mapenzi Baina ya Walimu na Wanafunzi Read More »

Tumaini Njiani

By Martha Chimilila Shule ya bweni ya wasichana pekee nchini Afghanistan, imesafirisha kundi kubwa la wanafunzi na wafanyakazi wake kwenda nchini Rwanda. Hatua hii, imechukuliwa siku chache baada ya kikundi cha Taliban kuiondoa serikali iliyokuwa madarakani nchini Afghanistan, kikundi hiki kinapinga wasichana na wanawake kupata elimu.  Bi. Shabana Basij-Rasikh, Muanzilishi wa shule ya Uongozi Afghanistan (SOLA), ni Taasisi binafsi. Alifanya mahojiano na shirika la habari la CNN siku ya jumanne

Tumaini Njiani Read More »

Uzinduzi wa Kilabu 4-K

By Khadija Mbesa Kuungana, Kufanya na Kusaidia Kenya, kilabu inayozinduliwa upya na wizara ya kilimo na teknolojia  pamoja na Mheshimiwa Rais Uhuru Muigai. Uzinduzi wa Kilabu 4-k ambao umefanyika Ijumaa ya leo tarehe 4 mwezi wa 6 mwaka wa 2021. Wanafunzi kutoka shule mbali mbali walileta miradi yao ya kilimo kati ya shukle hizo ni,

Uzinduzi wa Kilabu 4-K Read More »