Watoto na Watu Walio katika Umaskini ndio Waathiriwa zaidi wa Janga la Covid
By Khadija Mbesa Janga la COVID-19 linaloendelea, limewaathiri watoto kwa kiasi kikubwa mno, hasa ikilinganishwa na maisha waliyoyajua hapo awali. Kulingana na ripoti ya hivi majuzi, Utafiti Mkuu wa Kaya, 2020 ambao ulitolewa na Shirika la Takwimu la Afrika Kusini, imeashiria kwamba, COVID-19 imekuwa na athari tofauti katika asili ya mipangilio ya malezi ya watoto, haswa […]
Watoto na Watu Walio katika Umaskini ndio Waathiriwa zaidi wa Janga la Covid Read More »