Umaskini

Watoto na Watu Walio katika Umaskini ndio Waathiriwa zaidi wa Janga la Covid

By Khadija Mbesa Janga la COVID-19 linaloendelea, limewaathiri watoto kwa kiasi kikubwa mno, hasa ikilinganishwa na maisha waliyoyajua hapo awali. Kulingana na ripoti ya hivi majuzi, Utafiti Mkuu wa Kaya, 2020 ambao ulitolewa na Shirika la Takwimu la Afrika Kusini, imeashiria kwamba, COVID-19 imekuwa na athari tofauti katika asili ya mipangilio ya malezi ya watoto, haswa […]

Watoto na Watu Walio katika Umaskini ndio Waathiriwa zaidi wa Janga la Covid Read More »

Watoto wa Mtaani na Umaskini

By Martha Chimilila. Umaskini ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya binadamu kama vile chakula, maji salama, huduma za afya, mavazi na nyumba, kutokana na kukosa uwezo wa kununua. Tafiti zilizotolewa na UNICEF zinaonyesha kuwa, nusu ya watoto duniani wanaishi katika hali ya ufukara ambayo ni sawa na bilioni 1.1. Utafiti wa ‘Makadirio ya Ulimwengu ya

Watoto wa Mtaani na Umaskini Read More »