Teknolojia

Uzinduzi wa Kilabu 4-K

By Khadija Mbesa Kuungana, Kufanya na Kusaidia Kenya, kilabu inayozinduliwa upya na wizara ya kilimo na teknolojia  pamoja na Mheshimiwa Rais Uhuru Muigai. Uzinduzi wa Kilabu 4-k ambao umefanyika Ijumaa ya leo tarehe 4 mwezi wa 6 mwaka wa 2021. Wanafunzi kutoka shule mbali mbali walileta miradi yao ya kilimo kati ya shukle hizo ni,

Uzinduzi wa Kilabu 4-K Read More »

Siku ya Wanawake Duniani 2021

By Khadija Mbesah #SelectToChallenge ni mandhari ya Siku ya Wanawake Duniani 2021. Hivi ndivyo unapaswa kujua. Mabadiliko yanatokana na changamoto – na ndio waandaaji wa ujumbe wa Siku ya Wanawake Duniani 2021 wanatarajia kupiga tarumbeta hivi leo. “Ulimwengu ulio na changamoto ni ulimwengu wa tahadhari,” tovuti ya Siku ya Wanawake Duniani inasema. Wanawake wamekuwa mstari

Siku ya Wanawake Duniani 2021 Read More »