Mzazi

Kaa la Ukahaba Pwani

By Khadija Mbesa Ujana, Ngono na Utalii ni mambo ambayo yanaenda sambamba na yanapewa kipaumbele ndani ya roho ya Pwani Kenya. Mambo haya hayazingatii umri wala jinsia, watu wazima na hata Watoto wadogo wanaweza jipata ndani ya kisima hichi cha ukahaba. Mzazi kumfundisha mwanawe jinsi ya kujiuza na kupata fedha kupitia kufanya mapenzi na watalii […]

Kaa la Ukahaba Pwani Read More »

Mitandao

By Khadija Mbesa Hebu tuseme kwa mfano, wewe kama mzazi uko katika mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Twitter, alafu pia mwanao ako katika mitandao hiyo hiyo ya kijamii na anaweza kuona chochote unachochapisha ndani ya mitandao. je? mtoto wako atachukulia vipi mwonekano wako kwake atakapoona picha au ambazo unachapisha kwa ukurasa wako hazina

Mitandao Read More »