Mitandao

Ongezeko la Unyanyasaji wa Mitandao

By Khadija Mbesa Wakati nchi zililazimishwa kufungwa ili kuzuia kuenea kwa SARS-CoV-2, shule zilifungwa na wakati wa skrini ya watoto uliongezeka. Pamoja na madarasa yanayofundishwa mkondoni, na amri za kutotoka nje zilizoanzishwa katika nchi zingine, watoto walikuwa wakitumia muda zaidi na zaidi ndani ya nyumba. Hili lilisababisha wao kutumia wakati wao mwingi kwenye mitandao ya […]

Ongezeko la Unyanyasaji wa Mitandao Read More »

Mitandao

By Khadija Mbesa Hebu tuseme kwa mfano, wewe kama mzazi uko katika mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Twitter, alafu pia mwanao ako katika mitandao hiyo hiyo ya kijamii na anaweza kuona chochote unachochapisha ndani ya mitandao. je? mtoto wako atachukulia vipi mwonekano wako kwake atakapoona picha au ambazo unachapisha kwa ukurasa wako hazina

Mitandao Read More »