Registration of 2022 KCPE, KCSE and Grade 6 Assessment Candidates Commences Today

By Lydia Gichuki Registration 0f 2022 Kenya Primary School Education Assessment (KPSEA) for grade 6, Kenya Certificate of Primary Education (KCPE) and Kenya Certificate of Secondary Education and (KCSE) examinations started today April 27 and will end on May 14th 2022. The registration will be done at the Kenya National Examination Council (KNEC) portal. Education Cabinet […]

Registration of 2022 KCPE, KCSE and Grade 6 Assessment Candidates Commences Today Read More »

Watoto, Wenye Miaka 3 na 6 Wamekuwa Waathiriwa Zaidi wa Unyanyasaji wa Kingono

Ripoti kutoka kwa shirika la usalama la mtandao limesema kwamba, watoto walio na umri wa kati ya miaka mitatu na sita wamekuwa waathiriwa zaidi katika mwenendo unaoongezeka wa unyanyasaji wa kingono wa watoto unaotokana na wao wenyewe. Wakfu ya Internet Watch ilisema kwamba, katika kipindi cha mwezi mmoja, wakfu hiyo iliiona mifano 51 ya picha za

Watoto, Wenye Miaka 3 na 6 Wamekuwa Waathiriwa Zaidi wa Unyanyasaji wa Kingono Read More »

Shukran na Buriani Mwai Kibaki

Ni siku kadhaa baada ya kifo cha Rais wa zamani wa Kenya, Mzee Mwai Kibaki, na hatuna budi ila kumwambia buriani, huku tukikumbuka sifa zake katika sekta ya Elimu na Uchumi. Si siri kwamba, Mwai Kibaki alipoingia madarakani kama rais mwaka wa 2003, alizindua mpango wa Elimu ya Msingi usio na Malipo na ambao uliosifiwa sana .  Huku

Shukran na Buriani Mwai Kibaki Read More »

Mduara wa Unyanyasaji Nyumbani

Wazazi ndio washawishi wakubwa zaidi katika maisha ya watoto wao. Kwa hivyo, mienendo ya wazazi huwa na athari kubwa mno kwa watoto wao. Kwa mfano, Wazazi wanaozushiana na kupigana kila kuchao, hua sumu kwenye maisha ya watoto wao. swali ni, Sumu hii yaletwa vipi? Sumu hii huja baada ya wazazi kuwanyanyasa watoto hawa kiakili kwa

Mduara wa Unyanyasaji Nyumbani Read More »

Principals push for Children’s Act Amendment to Add Students’ Responsibilities toward Educational Instructions

By Lydia Gichuki Secondary school principals are pushing for the amendment of the Children’s Act to add provision in which students will have responsibilities towards school properties. Speaking during Kenya Secondary School Heads Association (KESSHA) national conference in Mombasa, KESSHA chairman Indimuli Kahi said this will aid in stopping the very many cases of school

Principals push for Children’s Act Amendment to Add Students’ Responsibilities toward Educational Instructions Read More »