Mtoto

Senti Makaburini

By Khadija Mbesa Wakati kila mtoto anaonekana yupo shuleni ama nyumbani mwao, utamwona Mtoto wa miaka 12 amekaa chini ya mti katika makaburi ya al-Faluja, kusini magharibi mwa kambi ya wakimbizi ya Jabalia kaskazini mwa Gaza, akijikinga na miale ya jua kali, huku akisubiri wageni wa makaburi wafike ili awape huduma kadhaa kwa malipo kidogo […]

Senti Makaburini Read More »

Healthy Boundaries

Establishing Clear Boundaries for Children By Constance Ndeleko Boundaries are mostly considered typical in the society because people agree that they are reasonable ways to like. Boundaries are social rules that establishes a bottom-line about what is acceptable and what is not. Not all boundaries are good and children should be taught on importance of

Healthy Boundaries Read More »

Mbio za Kupunguza Ukatili wa Kijinsia

By Martha Chimilila Tanzania kama zilivyo nchi nyingi duniani, kuna ongezeko kubwa la ukatili wa kijinsia kwa Watoto, ambao umefichwa na mila, tamaduni na dini. Ijapokuwa wanaharakati wa haki za Watoto nchini Tanzania wamekuwa wakifanya kampeni mbalimbali ili kupinga ndoa za utotoni, tohara na mimba za mapema. Hali ambayo ni tofauti kwa jamii mbalimbali ikiwemo

Mbio za Kupunguza Ukatili wa Kijinsia Read More »

Usalama wa Watoto Wetu

By Khadija Mbesa Visa vingi vya utekaji nyara vimekuwa vikitokea pande nyingi za Kenya, huku watoto wakiwa waathiriwa zaidi, je Watoto wetu wako na usalama? hili ndilo swali kuu linalopitia akili ya kila mzazi. Watoto hawako salama, si shuleni wala nyumbani. Hivi karibuni, Shantel Nzembi wa miaka minane alipotea kutoka nyumbani kwao Kitengela wakati alikuwa

Usalama wa Watoto Wetu Read More »

Parents, Children and Body-Image

Every time we look in the mirror judging ourselves, feeling imperfect, let’s not forget that we are much more than that. By Ivy Maloy A teenager’s body image can affect everything from self-esteem to choices about clothing, diet, and exercise. It can also lead to afflictions such as anorexia. How can parents help their teenagers

Parents, Children and Body-Image Read More »

Kwa nini Haki za Watoto Haziheshimiwi?

By khadija Mbesa Katika ripoti iliyochapishwa kabla ya maadhimisho ya miaka 9 ya nchi ya sudan mnamo Julai tarehe 9, UNICEF iligundua rekodi ya milioni 4.5 ya watoto, au theluthi mbili ya watoto nchini Sudan Kusini, wanahitaji msaada mkubwa.  Kiwango cha vifo vya watoto ni kati ya kiwango cha juu zaidi ulimwenguni, na mtoto mmoja kati ya 10 hatarajiwi

Kwa nini Haki za Watoto Haziheshimiwi? Read More »

Fighting the Walls of Despair

Despair is the complete loss or absence of hope. By Constance Ndeleko When children are pushed to the extremes they give different signals and behaviors in regards to what they are going through. Though times are difficult, we should strive to lift their hopes high and protect their future and wellbeing. Recently, I had a

Fighting the Walls of Despair Read More »